swc_mat_text_reg/27/20.txt

1 line
377 B
Plaintext

\v 20 Pale, kiongozi wa batumishi bamu nhyumba ya Mungu na bazee bote baka chonganisha kundi ya batu balombe ba achiliye BAlabasa na ba uwe Yesu. \v 21 Liwali aka ba uliza tena: "Acha Bawili, muna penda ni achiliye nani? " bote bakasema: "acha Balabasa". \v 22 Pilato akaba ulizatena: "sasa uyu Yesu bana ita Kristo, nifanye naye jee?" kwa pamoja baka jibu:"akufe ku musalaba".