\v 20 Pale, kiongozi wa batumishi bamu nhyumba ya Mungu na bazee bote baka chonganisha kundi ya batu balombe ba achiliye BAlabasa na ba uwe Yesu. \v 21 Liwali aka ba uliza tena: "Acha Bawili, muna penda ni achiliye nani? " bote bakasema: "acha Balabasa". \v 22 Pilato akaba ulizatena: "sasa uyu Yesu bana ita Kristo, nifanye naye jee?" kwa pamoja baka jibu:"akufe ku musalaba".