swc_mat_text_reg/26/20.txt

1 line
293 B
Plaintext

\v 20 Wakati mangaribi ilifika Yesu aka ikala aka anza kula chakula pamoya na bana funzi bake kumi na mbkili. \v 21 Wakati bali kuwa na kula chakula naye aka sema , kweli na myambiya koma, mutu moya kati yenu ata nitoya. \v 22 Bote baka uziki sana, na kila mutu aka anza kumuliza bwana nimiye?