\v 20 Wakati mangaribi ilifika Yesu aka ikala aka anza kula chakula pamoya na bana funzi bake kumi na mbkili. \v 21 Wakati bali kuwa na kula chakula naye aka sema , kweli na myambiya koma, mutu moya kati yenu ata nitoya. \v 22 Bote baka uziki sana, na kila mutu aka anza kumuliza bwana nimiye?