swc_mat_text_reg/16/21.txt

1 line
471 B
Plaintext

\v 21 Basi, Yesu akanza ku waambia wanafunzi wake kama inampasa kwenda Jerusalemu kuteswa kwa mambo katika mikono ya waju wa makuhani na wandishi, atauwawa na kufufuka siku ya tatu . \v 22 Kiisha Petro akamukamatia Yesu akaenda naye pembeni kwa kumukataza kwa kusema " neno hili likwe mbali nawe bwana isikutoe. \v 23 Lakini Yesu akamwangali Petro akasema " rudi nyuma jangu shetani ! weye ni kizuizo kwangu, kwa maana hawangaikie maneno ya Mungu , lakini maneno ya watu.