Sun Oct 11 2020 18:31:20 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-11 18:31:21 +01:00
parent a61d498e6b
commit d896534ffa
1 changed files with 1 additions and 0 deletions

1
23/34.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 34 \v 36 Kwa sababu hiyo, nitawatumia manabii na watu wenye hekima na walimu. Mutawaua wamoja wao, mutatundika wengine juu ya misalaba, mutawapiga wengine fimbo ndani ya nyumba zenu za kuabudia na kuwafukuza mji kwa mji. \v 35 35 Na hivi mutabeba lazima ya damu iliyomwangwa katika dunia pasipo kosa, tangia kuuawa kwa Abeli aliyekuwa mukamilifu mpaka kuuawa kwa Zakaria, mwana wa Barakia, muliyemwuia kwenye hekalu katikati ya Pahali Patakatifu na mazabahu. 36 Kweli ninawaambia: watu wa kizazi hiki watabeba lazima ya mambo hayo yote.