Sun Oct 11 2020 18:25:20 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)
This commit is contained in:
parent
280c0087b7
commit
ba4e5b6111
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 20 Katika haya yote mtu anayeapa kwa jina la mazabahu anaapa kwa jina lile na kwa majina ya vyote vinavyokuwa juu yake. \v 21 Vilevile anayeapa kwa jina la hekalu anaapa kwa jina lile na kwa jina la Mungu anayekuwa ndani yake. \v 22 Naye anayeapa kwa jina la mbingu anaapa kwa jina la kiti cha kifalme cha Mungu na kwa jina la Mungu anayeikaa juu yake.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 23 Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munatoa fungu moja la kumi la vijani vya kukoleza chakula, lakini mumeacha mambo makubwa yanayoamuriwa na Sheria, kama vile haki, huruma, na uaminifu. Mambo hayo ndiyo muliyopaswa kushika pasipo kuacha mengine. \v 24 Ninyi waongozi vipofu! Munapokunywa, munachuya imbu toka katika vinywaji vyenu, lakini munameza ngamia!
|
|
@ -371,6 +371,7 @@
|
|||
"23-13",
|
||||
"23-16",
|
||||
"23-18",
|
||||
"23-20",
|
||||
"24-title",
|
||||
"24-01",
|
||||
"24-03",
|
||||
|
|
Loading…
Reference in New Issue