Sun Oct 11 2020 18:21:20 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)
This commit is contained in:
parent
f65c8db785
commit
ae645ff2c3
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 8 Lakini ninyi musikubali kuitwa Mwalimu, kwa maana ninyi wote ni wandugu, nanyi muko na Mwalimu mmoja tu. \v 9 Vilevile hapa katika dunia musimwite mtu yeyote Baba kwa maana muko na Baba mmoja tu, anayekuwa mbinguni. \v 10 Musikubali kuitwa Waongozi, kwa maana muko na Mwongozi Mkubwa mmoja tu, ndiye Kristo.
|
||||
\v 8 Lakini ninyi musikubali kuitwa Mwalimu, kwa maana ninyi wote ni wandugu, nanyi muko na Mwalimu mmoja tu. \v 9 Vilevile hapa katika dunia musimwite mtu yeyote Baba kwa maana muko na Baba mmoja tu, anayekuwa mbinguni. \v 10 Musikubali kuitwa Waongozi, kwa maana muko na Mwongozi Mkubwa mmoja tu, ndiye Kristo.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 11 Lakini anayekuwa mkubwa kati yenu sherti akuwe mtumishi wenu. \v 12 Na yeyote anayejiinua, atashushwa, lakini anayejishusha, atainuliwa.
|
|
@ -0,0 +1,2 @@
|
|||
\v 13 Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munawafungia watu wengine njia ya kuingia katika Ufalme wa mbinguni. Ninyi wenyewe hamuingii mule na zaidi ya hii munawazuiza wale wanaotaka kuingia.
|
||||
[14 \v 14 Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munanyanganya mali za wajane na kuomba maombi marefu kwa kujionyesha. Kwa sababu hii azabu yenu itakuwa kubwa zaidi!] \v 15 15 Ole kwenu, ninyi walimu wa Sheria na Wafarisayo, ninyi wanafiki! Munasafiri kuvuka bahari na inchi mbalimbali kusudi mupate kumugeuza hata mtu mmoja tu kuwa mufuasi wenu. Nanyi munapomupata, munamufanya kuwa mwenye kustahili azabu ya jehenamu mara mbili zaidi kuliko ninyi
|
|
@ -366,6 +366,8 @@
|
|||
"23-01",
|
||||
"23-04",
|
||||
"23-06",
|
||||
"23-08",
|
||||
"23-11",
|
||||
"24-title",
|
||||
"24-01",
|
||||
"24-03",
|
||||
|
|
Loading…
Reference in New Issue