Sun Oct 11 2020 17:41:19 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)
This commit is contained in:
parent
703b21d84b
commit
7750e337e8
|
@ -1,2 +1 @@
|
|||
\v 4 4 Akawakusanya wakubwa wote wa makuhani na walimu wa Sheria kwa kuwauliza wapi Kristo atakapozaliwa. 5 \v 5 Nao wakamujibu: Betelehemu katika Yudea, kwa maana ilisemwa hivi kwa njia ya nabii:
|
||||
6 \v 6 «Ewe Betelehemu, katika inchi ya Yuda, wewe si mudogo kabisa kati ya miji mikubwa ya Yuda, maana ndani yako atatoka mutawala, atakayechunga watu wangu, ndio Waisraeli.»
|
||||
\v 4 Akawakusanya wakubwa wote wa makuhani na walimu wa Sheria kwa kuwauliza wapi Kristo atakapozaliwa. \v 5 Nao wakamujibu: Betelehemu katika Yudea, kwa maana ilisemwa hivi kwa njia ya nabii: \v 6 «Ewe Betelehemu, katika inchi ya Yuda, wewe si mudogo kabisa kati ya miji mikubwa ya Yuda, maana ndani yako atatoka mutawala, atakayechunga watu wangu, ndio Waisraeli.»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 7 Basi Herode akawaita kwa siri wale wenye elimu kusudi wamujulishe hakika wakati gani nyota ile ilipotokea. \v 8 Kisha akawatuma Betelehemu, akiwaambia: «Mwende mupeleleze habari kamili za mtoto yule. Nanyi mutakapomwona munijulishe kusudi mimi vilevile niende kumwabudu.»
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
Kisha kumusikiliza mfalme, wakaondoka. Ile nyota waliyoiona tokea mashariki iliwatangulia, nayo ikaenda na kusimama juu ya pahali mtoto alipokuwa. 10 Na wakati walipoiona wakafurahi sana.
|
|
@ -50,6 +50,8 @@
|
|||
"01-24",
|
||||
"02-title",
|
||||
"02-01",
|
||||
"02-04",
|
||||
"02-07",
|
||||
"03-title",
|
||||
"03-01",
|
||||
"03-04",
|
||||
|
|
Loading…
Reference in New Issue