Sun Oct 11 2020 19:37:20 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-11 19:37:21 +01:00
parent 1bff1c2f7b
commit 700e05f80a
3 changed files with 3 additions and 2 deletions

View File

@ -1,2 +1 @@
Halafu wenye haki watamujibu: “Bwana, ni wakati gani tulipokuona ukisikia njaa, tukakupa chakula, au uliposikia kiu, tukakupa maji? 38 Ni wakati gani tulipokuona uko mugeni, tukakukaribisha, ulipokuwa uchi, tukakupatia nguo? 39 Na ni wakati gani tulipokuona uko mugonjwa au uko katika kifungo tukakuja kukuangalia?” 40 Mfalme atawajibu: “Kweli ninawaambia: kila kitu mulichokitendea mmoja wa hawa wandugu zangu wanaohesabiwa kuwa wadogo, mulinitendea mimi.”
41 Kisha mfalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kushoto: “Muondoke hapa karibu nami, ninyi muliolaaniwa! Muende katika moto usiozimika hata milele, uliotayarishwa kwa ajili ya Shetani na wamalaika wake! 42 Kwa maana nilisikia njaa, nanyi hamukunipa chakula; nilisikia kiu, nanyi hamukunipa maji; 43 nilikuwa mugeni, nanyi hamukunikaribisha; nilikuwa uchi, nanyi hamukunipatia nguo; nilikuwa mugonjwa na nilikuwa katika kifungo, nanyi hamukukuja kuniangalia.”
\v 37 Halafu wenye haki watamujibu: “Bwana, ni wakati gani tulipokuona ukisikia njaa, tukakupa chakula, au uliposikia kiu, tukakupa maji? \v 38 Ni wakati gani tulipokuona uko mugeni, tukakukaribisha, ulipokuwa uchi, tukakupatia nguo? \v 39 Na ni wakati gani tulipokuona uko mugonjwa au uko katika kifungo tukakuja kukuangalia?” \v 40 Mfalme atawajibu: “Kweli ninawaambia: kila kitu mulichokitendea mmoja wa hawa wandugu zangu wanaohesabiwa kuwa wadogo, mulinitendea mimi.”

1
25/41.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 41 Kisha mfalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kushoto: “Muondoke hapa karibu nami, ninyi muliolaaniwa! Muende katika moto usiozimika hata milele, uliotayarishwa kwa ajili ya Shetani na wamalaika wake! \v 42 Kwa maana nilisikia njaa, nanyi hamukunipa chakula; nilisikia kiu, nanyi hamukunipa maji; \v 43 nilikuwa mugeni, nanyi hamukunikaribisha; nilikuwa uchi, nanyi hamukunipatia nguo; nilikuwa mugonjwa na nilikuwa katika kifungo, nanyi hamukukuja kuniangalia.”

View File

@ -427,6 +427,7 @@
"25-28",
"25-31",
"25-34",
"25-37",
"26-title",
"26-01",
"26-03",