Sun Oct 11 2020 19:35:20 GMT+0100 (Afr. centrale Ouest)

This commit is contained in:
tsDesktop 2020-10-11 19:35:21 +01:00
parent af4240df29
commit 1bff1c2f7b
4 changed files with 6 additions and 1 deletions

View File

@ -1 +1 @@
\v 31 Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake pamoja na wamalaika wote, ataikaa juu ya kiti chake cha kifalme chenye utukufu. \v 32 32 Mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atayatenga kwa makundi mawili kama vile mchungaji anavyotenga kondoo na mbuzi. \v 33 33 Ataweka kondoo kwa upande wake wa kuume, na mbuzi kwa upande wake wa kushoto.
\v 31 Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake pamoja na wamalaika wote, ataikaa juu ya kiti chake cha kifalme chenye utukufu. \v 32 Mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atayatenga kwa makundi mawili kama vile mchungaji anavyotenga kondoo na mbuzi. \v 33 Ataweka kondoo kwa upande wake wa kuume, na mbuzi kwa upande wake wa kushoto.

1
25/34.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1 @@
\v 34 Halafu mfalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kuume: «Mukuje, ninyi muliobarikiwa na Baba yangu; muingie katika Ufalme muliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa dunia. \v 35 Kwa maana nilisikia njaa, mukanipa chakula; nilisikia kiu, mukanipa maji; nilikuwa mugeni, mukanikaribisha; \v 36 nilikuwa uchi, mukanipatia nguo; nilikuwa mugonjwa, mukanisaidia; nilikuwa katika kifungo, mulikuja kuniangalia.

2
25/37.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1,2 @@
Halafu wenye haki watamujibu: “Bwana, ni wakati gani tulipokuona ukisikia njaa, tukakupa chakula, au uliposikia kiu, tukakupa maji? 38 Ni wakati gani tulipokuona uko mugeni, tukakukaribisha, ulipokuwa uchi, tukakupatia nguo? 39 Na ni wakati gani tulipokuona uko mugonjwa au uko katika kifungo tukakuja kukuangalia?” 40 Mfalme atawajibu: “Kweli ninawaambia: kila kitu mulichokitendea mmoja wa hawa wandugu zangu wanaohesabiwa kuwa wadogo, mulinitendea mimi.”
41 Kisha mfalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kushoto: “Muondoke hapa karibu nami, ninyi muliolaaniwa! Muende katika moto usiozimika hata milele, uliotayarishwa kwa ajili ya Shetani na wamalaika wake! 42 Kwa maana nilisikia njaa, nanyi hamukunipa chakula; nilisikia kiu, nanyi hamukunipa maji; 43 nilikuwa mugeni, nanyi hamukunikaribisha; nilikuwa uchi, nanyi hamukunipatia nguo; nilikuwa mugonjwa na nilikuwa katika kifungo, nanyi hamukukuja kuniangalia.”

View File

@ -425,6 +425,8 @@
"25-24",
"25-26",
"25-28",
"25-31",
"25-34",
"26-title",
"26-01",
"26-03",