forked from WA-Catalog/sw_tn
319 B
319 B
sanduku kuja hapo
"watu wa Israeli walieka sanduku kule"
hema, hema la kukutania
Maana kadha ni 1) kwamba "hema la kukutania" la eleza jina lingine la "maskani" (UDB) au 2) "eneo takatifu la hema la kukutani"
Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa
"Waimbaji walitii maelekezo ya Daudi"