forked from WA-Catalog/sw_tn
637 B
637 B
Nitasema kwa Mungu, mwamba wangu
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni mwamba mkubwa utakaotoa ulinzi dhidi ya mashambulizi ya adui.
Kwa nini ninaenda kuomboleza
"Kwenda kuomboleza" nikufanya desturi zinazokaribiana na kuwa huzuni sana.
Kama na upanga ndani ya mifupa yangu
Mwandishi anaelezea kukemea kwa adui zake kama kupokea kidondo hatari.
huwa wanasema kwangu
Hii ni ukuzaji wa neno; adui zake hawasemi hivi kila wakati bali wanasema mara kwa mara.
Yuko wapi Mungu wako?
Adui wa mwandishi wanatumia swali hili kumkejeli na kuonesha kuwa hawaoni Mungu wake akimsaidia. "Mungu wako hayuko hapa kukusaidia"