forked from WA-Catalog/sw_tn
515 B
515 B
walinisubiri daima kama walivyosubiri mavua
watu walimsubiri kwa subira na kutarajia kusikia mambo mema.
"walisubiri kwa hamu niongee ili wanufaike kutoka katika usemi wangu"
kama walivyofanya kwa mvua ya masika
"wakulima walisubiri kwa hamu mvua ya masika"
mvua ya masika
mvua ya masika
hii ni mvua kubwa ambayo hunyesha kabla ya majira ya ukame
nilitabasamu kwa ajili yao
"nilitabasamu kwa aji yao ili kuwafariji"
mwanga wa uso wangu
hii inawakilisha ukarimu waliouna katika sura ya Ayubu