forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
453 B
Markdown
13 lines
453 B
Markdown
# nanyi mtapanda
|
|
|
|
"ili muweze kupanda"
|
|
|
|
# Wakati wa mavuno, mtampa Farao sehemu ya tano, na sehemu nne zitakuwa zenu
|
|
|
|
Neno la "tano" ni sehemu. "Wakati wa mavuno utagawanyisha mazao katika sehemu tano. Utatoa sehemu moja kwa Farao kwa ajili ya malipo na sehemu nne ni kwa ajili yenu"
|
|
|
|
# wa chakula cha nyumba zenu na watoto wenu
|
|
|
|
Unaweza kuwekwa wazi taarifa inayoeleweka. "kwa chakula kwa ajili ya nyumba zenu na kwa chakula kwa ajili ya watoto wenu"
|
|
|