forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
970 B
Markdown
37 lines
970 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Yakobo anaendelea kuzungumza na Labani.
|
|
|
|
# Miaka hii ishirini
|
|
|
|
"Miaka hii 20 iliyopita"
|
|
|
|
# miaka kumi na nne
|
|
|
|
"miaka 14"
|
|
|
|
# Umebadili ujira wangu mara kumi
|
|
|
|
"amebadili kile alichosema angenilipa mara kumi"
|
|
|
|
# Isipokuwa Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu, yule Isaka anayemwofu, amekuwa nami
|
|
|
|
Yakobo ana maana ya Mungu yule yule na sio kwa miungu watatu tofauti. "Kama Mungu wa Abrahamu, na Isaka, baba yangu, asingekuwa na mimi"
|
|
|
|
# Mungu wa baba yangu
|
|
|
|
Hapa neno "baba" lina maana ya mzazi wake, Isaka.
|
|
|
|
# yule Isaka anayemwofu
|
|
|
|
Hapa neno "anayemwofu" lina maana ya "hofu ya Yahwe" ambayo ina maana ya kumheshimu kwa ndani na kuonyesha heshima hiyo kwa kumtii yeye.
|
|
|
|
# mikono mitupu
|
|
|
|
mikono** Hii ina maana kutokuwa na kitu. "bila kitu chochote"
|
|
|
|
# Mungu ameliona teso langu na jinsi nilivyofanya kazi kwa bidii
|
|
|
|
Nomino inayojitegemea "teso" inaweza kuwekwa kama "kuteswa". "Mungu ameona jinsi nilivyofanya kazi kwa bidii na jinsi ulivyonitesa"
|
|
|