Huenda kumi wakaonekana kule
"Huenda utakuta watu kumi watakatifu pale"
kumi
"watu kumi watakatifu" au " watu kumi wazuri"
Kisha akasema
"Na Yahwe akajibu"
kwa ajili ya hao kumi
"ikiwa nikipata watu kumi watakatifu pale"
Yahwe akaendelea na njia yake
"Yahwe aliondoka" au "Yahwe alienda"