sw_tn_fork/gen/18/22.md

403 B

wakageuka toka pale

"aliondoka kutoka katika hema la Abrahamu"

Abrahamu akabaki amesimama mbele ya Yahwe

"Abrahamu na Yahwe walibaki pamoja"

alikaribia

"alimkaribia Yahwe" au "alisogea karibu na Yahwe"

utawafutilia mbali

Abrahamu anazungumzia kuwaangamiza watu kana kwamba alikuwa akifagia takataka kwa ufagio. "kuangamiza"

watakatifu pamoja na waovu

"watu watakatifu na watu waovu"