forked from WA-Catalog/sw_tn
373 B
373 B
sanduku la agano
Neno ''sanduku'' hapa linarejelea sanduku ambalo lina mbao za mawe
ukingo wa maji
Inarejelea sehemu ya juu ya maji kama vile ilivyo katika ukingo wa kisima ambapo maji hutiririkia katika sehemu kavu
Yordani hujaa hadi katika kingo zake zote katika kipindi chote cha mavuno
Haya ni maelezo ya msingi na yanakazia yale ambayo Yahweh anayafanya.