forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'jas/04/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
885eb6ef22
commit
eb4edf6108
|
@ -0,0 +1,29 @@
|
|||
# Yakobo 04 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Dhana muhimu katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Uzinzi
|
||||
|
||||
Wandishi katika Bibilia huzungumzia mara nyingi uzinzi kama mfano kwa watu wanaosema wanampenda Mungu lakini wanatenda mambo Mungu huchukia. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://en/tw/dict/bible/kt/godly)
|
||||
|
||||
#### Sheria
|
||||
|
||||
Kuna uwezekano Yakobo analitumia neno hili katika Yakobo 4:11 kumaanisha "sheria ya kifalme" (Yakobo 2:8) na siyo sheria ya Musa(Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
|
||||
|
||||
### Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
|
||||
|
||||
#### Maswali ya kana
|
||||
|
||||
Yakobo anauliza maswali mengi kwa sababu anataka wasomaji wake wafikirie jinsi wanavyoishi. Anataka kuwarekebisha na kuwafudisha. (Tazama: rc://en/ta/man/translate/figs-rquestion)
|
||||
|
||||
### Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
|
||||
|
||||
#### Nyenyekevu
|
||||
|
||||
Kuna uwezekano neno hili hutumika kumaanisha watu wasiyo na majivuno. Yakobo analitumia neno hili kuashiria watu wasiyokuwa na majivuno na wanaoeza kumtumainia Yesu na kumtii.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[James 04:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue