forked from WA-Catalog/sw_tn
Add 'rev/15/Intro.md'
This commit is contained in:
parent
77eb03dcab
commit
3049ab2249
|
@ -0,0 +1,23 @@
|
|||
# Ufunuo 15 Maelezo kwa jumla
|
||||
|
||||
### Muundo na mpangilio
|
||||
|
||||
Matukio na picha zinazofafanuliwa hapa inatokea mbinguni.
|
||||
|
||||
Tafsiri zingine zinaingiza ndani kidogo msitari wa ushairi ili isomeke kwa urahisi. ULB hufanya hivi na ushairi ulioko katika 15:3-4
|
||||
|
||||
### Dhana muhimu katika sura hii
|
||||
|
||||
#### "Mahali patakatifu, ambamo kulikuwa na hema la mashahidi palifunguka mbinguni"
|
||||
|
||||
Maelezo haya yamefanya wasomi wengine kuamini kwamba hekalu la Wayahudi lilikuwa na mandhari ya mbinguni. (Tazama:rc://en/tw/dict/bible/kt/heaven]] na [[rc://en/ta/man/translate/writing-apocalypticwriting)
|
||||
|
||||
#### Nyimbo
|
||||
|
||||
Mbinguni mara nyingi huelezewa kama mahali ambapo watu wanaimba.Hizo ni nyimbo za ibada kwa Mungu. Hii inaashiria kwamba mbinguni ni mahali ambapo Mungu anaabudiwa kila mara.
|
||||
|
||||
## Links:
|
||||
|
||||
* __[Revelation 15:01 Notes](./01.md)__
|
||||
|
||||
__[<<](../14/intro.md) | [>>](../16/intro.md)__
|
Loading…
Reference in New Issue