forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
585 B
Markdown
25 lines
585 B
Markdown
|
# Ujasiri kuhusu utii wako
|
||
|
|
||
|
"Kwa sababu nina hakika kwamba utafanya kile nilichosema"
|
||
|
|
||
|
# Na wakati mwingine
|
||
|
|
||
|
"Pia"
|
||
|
|
||
|
# andaa chumba kwa ajili yangu
|
||
|
|
||
|
andaa chumba hapo kwako iwe tayari kwa ajili yangu. Paulo alimwambia Filemoni afanye hivyo.
|
||
|
|
||
|
# nitakutembelea hivi karibuni
|
||
|
|
||
|
"Wale walioniweka gerezani wataniachia huru hivyo ntakuja kwako"
|
||
|
|
||
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anamalizia barua yake kwa kuwabariki Filemoni na waamini wote waliokuwa wakikusanyika kusali katika nyumba ya Filemoni.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Maneno "wewe, ninyi" yanawaelezea Filemoni na waamini waliokutana nyumbani.
|
||
|
|