forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
823 B
Markdown
25 lines
823 B
Markdown
|
# kama unanichukulia kama mshiriki
|
||
|
|
||
|
"kama wewe unanidhania mimi mtenda kazi wa Kristo"
|
||
|
|
||
|
# unidai mimi malipo
|
||
|
|
||
|
"malipo yatatoka kwangu" au "sema kwamba mimi ni mmoja wa unaowadai."
|
||
|
|
||
|
# mimi Paulo ninaandika kwa mkono wangu
|
||
|
|
||
|
Paulo niliyeandika hivyo, kwamba Filemoni ujue kwamba ni maneno ya kweli; Paulo kweli angemlipa. "Mimi, Paulo, ninaandika hivi mwenyewe."
|
||
|
|
||
|
# Sikutaka kukwambia
|
||
|
|
||
|
"Sikuhitaji kukukumbusha wewe" "wewe unajua"
|
||
|
|
||
|
# unanidai maisha yako
|
||
|
|
||
|
"wewe unanidai maisha yako" Paulo anamwambia Filemoni asiseme kuwa anawadai Onesmo au Paulo maisha yake kwa sababu Paulo anamdai zaidi Filemoni. "Ninakudai zaidi maana nimeyaokoa maisha yako"
|
||
|
|
||
|
# furahisha moyo wangu
|
||
|
|
||
|
Paulo alitaka Onesmo angefanya kwa uaminifu: furahisha moyo wangu kwa kumkubali Onesmo. "uufanye moyo wangu ufurahi" au "unifurahishe" au "unifariji."
|
||
|
|