sw_tq/1sa/31/07.md

218 B

Kwa nini watu wa Israeli toka upande mwingine wa bonde na ng'ambo ya Yordani waliiacha miji yao na kukimbia?

Walikimbia kwa sababu waliona watu wengine wa Israeli wanakimbia na kwamba Sauli na mtoto wake wamekufa.