sw_tq/1sa/20/06.md

203 B

Ni sababu zipi Daudi alimwambia Yonathani amle Sauli ikiwa Sauli atamkosa?

Alimwambia amwambie Sauli kuwa amekwenda Bethlehemu kwa sababu ni kipindi cha utoaji dhabihu ya mwaka kwa familia yao yote.