sw_tq/1sa/14/20.md

205 B

Nani aliungana na Waisraeli waliokuwa na Sauli na Yonathani?

Waebrania ambao mwanzo walikuwa na Wafilisti na ambao walikwenda nao katika kambi na kuungana na Wasiraeli waliokuwa na Sauli na Yonathani.