sw_tq/1sa/12/16.md

455 B

Ni jambo gani ambalo Samweli alilisema mbele ya wana wa Israeli?

Samweli aliwaambia watu wajihudhurishe wenyewe mbele za Bwana na kuona mambo makuu atakayoyafanya mbele ya macho yao.

Samweli alimuomba Bwana atume nini ili wana wa Israeli wafahamu kwamba ouvu wao ni mwingi?

Alimwomba Bwana atume ngurumo na mvua.

Samweli alimuomba Bwana atume nini ili wana wa Israeli wafahamu kwamba ouvu wao ni mwingi?

Alimwomba Bwana atume ngurumo na mvua.