sw_tq/1sa/07/01.md

310 B

Watu wa Kiriathi Yearimu walimfanya nini mwana wa Abinadamu ili alitunze sanduku la Bwana?

Walimuweka wakfu ili alitunze sanduku la Bwana.

Nyumba yote ya Israeli ilifanya nini kwa kipindi cha miaka ishirini ambayo sanduku lilikuwa Kiriathi Yearimu?

Waliomboleza wakati wote na kutamani kumrudia Bwana.