20 lines
448 B
Markdown
20 lines
448 B
Markdown
# nao walimsihi
|
|
|
|
"roho chafu walimsihi Yesu"
|
|
|
|
# Aliwaruhusu
|
|
|
|
"Yesu aliziruhusu roho chafu" zikawaingie nguruwe
|
|
|
|
# na walikimbilia
|
|
|
|
"na nguruwe walikimbilia"
|
|
|
|
# nao walikimbilia chini ya kilima mpaka baharini, na karibia nguruwe elfu mbili walizama baharini
|
|
|
|
Unaweza kuifanya hii sentensi kujitegemea: "mpaka baharini. Kuliwakuwako na nguruwe elfu mbili, na walizama baharini."
|
|
|
|
# Yapata nguruwe elfu mbili
|
|
|
|
"Yapata nguruwe 2000 " walizama baharini
|