1.2 KiB
Sentensi kiunganishi
Yahweh anaendelea kumwambia Yoshua kile anachopaswa kuwaambia watu.
mtajisogeza wenyewe kwa makabila
Kulikuwa na makabila kumi na mawili yaliyowafanya watu wa Israeli. Kifungu cha maneno "kwa makabila" kina maana ya "kila kabila"
Kabila lile ambalo Yahweh atalichagua litasogea karibu kwa koo zake
Kabila hujengwa na makabila mengi. "Kutoka katika kabila ambalo Yahweh amelichagua, kila kabila litakaribia,"
Kabila ambalo Yahweh atalichagua
Viongozi wa Israeli watapiga kura, na kwa kufanya hivi, wangejifunza ni kabila gani Yahweh alikuwa amelichagua.
Ukoo ule ambao Yahweh atauchagua lazima usogee karibu kwa nyumba
Ukoo ulijengwa na familia/nyumba kadhaa. "Kutoka katika ukoo ambao Yahweh ameuchagua, kila nyumba itasogea karibu."
Nyumba ambayo Yahweh ataichagua lazima isogee karibu kwa mtu mmoja mmoja
Nyumba iliundwa na watu kadhaa. "Kutoka katika nyumba ambayo Yahweh ameichagua, kila mtu atasogea karibu"
Itakuwa hivi mtu yule atakayechaguliwa
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji "Yeye ambaye Yahweh anamchagua"
amelivunja agano la Yahweh
Kuvunja agana kuna maana ya kutolitii. "Ameliasia agano la Yahweh"