Sentensi kiunganishi
Yahweh anaendelea kuongea na Yoshua na kumwambia kitu cha kuwaambia watu
Watu
Inarejelea watu wa Israeli
Hamtaweza kusimama mbele ya maadui zenu
Kusimama mbele za maadui zao kuna maana ya kupigana kwa mafanikio dhidi yao. "Hamtaweza kuwashinda maadui zenu"