412 B
412 B
Maelezo ya Jumla
Sura hii wanaotajwa ni waumini wa kanisa huko Antiokia
Kwa hiyo
Neno linaloelezea kuwa jambo lililotokea kwasababu ya kitu kingine pia
kila mmoja alivyo fanikiwa,
atu matajiri walituma misaada zaidi, na wale masikini walituma kwa kiasi chao.
kwa ndugu walioko Uyahudi
"Kwa wakristo waliokuwa huko Yudea"
kwa mkono wa Barnaba na Sauli.
"Chini ya usimamizi wa Barnaba na Sauli"