8 lines
360 B
Markdown
8 lines
360 B
Markdown
# Hilikia ... Seraia ... Yehozadaki
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
|
|
|
|
Nguvu ya Nebukadneza kupitia jeshi lake inafafanuliwa kama sehemu ya mwili wake ("mkono") alitumika kuongoza jeshi lake. " aliruhusu jeshi la Nebukadneza kushinda majeshi ya Yuda na Yerusalemu na kuchukua watu kwenda matekani."
|