sw_tn/1co/10/07.md

459 B

waabudu sanamu

"watu wanaoabudu sanamu"

walikaa chini kula na kunywa

" walikaa chini kula chakula"

kucheza

Paulo nukuu maandiko ya kiyahudi. Hapa anataka wasomaji wake wafamu kuwa watu walikuwa wakiabudu miungu (sanamu) kwa kuimba, kucheza na kufanya zinaa. Hii haikuwa sherehe ya kawaida

Wakafa siku moja watu ishirini na tatu elfu

"Mungu aliwaua watu 23,000 kwa siku moja"

kwa sababu hiyo

" kwa sababu walitenda matendo mabaya ya zinaa"