374 B
374 B
Yehoyakini
Baadhi ya tafsiri zina "Yekonia," ambayo ni mbadala wa "Yehoyakini."
watekwa
Hii inaweza kuwa cheo kilichopewa Yehoyakini kwasababu alichukuliwa matekani. Ingawa, baadhi ya tafsiri za eleza hilo neno kama "Asiri," jina la mmoja wa wanae.
YehoYakini ... Shealtieli, Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia
Haya ni majina ya wanaume.