480 B
480 B
Hurarua
Kiambishi 'hu' kinarejelea farasi. Farasi huchimbua ardhi kwasababu anakuwa amesisimka kuanza kupigana.
hurarua
"kuchimbua ardhi kwa kutumia kwato"
hudharau
"kuchekelea"
hashangazwi
"kuogopeshwa'' au ''kuhofu''
harudi nyuma
"hakimbii mbali''
podo
ni chombo ambacho hutunza mishale
hugongagonga
"kutikisika na kutoa kelele''
ubavuni
sehemu za pembeni za farasi
fumo
ni mti mrefu uliochongoka mwishoni ambao watu huurusha kwa maadui zao.