585 B
585 B
Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
Je umempa farasi ... panzi?
Yahweh anatumia maswali haya kutia mkazo kwamba ni yeye ndiye huyafanya mambo haya ambayo Ayubu hayawezi.
umeivika shingo yake
Neno 'kuvika" ni njia ya kuelezea jinsi ambavyo Yahweh alivyoifanya shingo ya farasi.
manyoya yake
ni nywele ndefu ambazo hushuka chini kutoka katika shingo ya farasi na hutisika wakati farasi anapoondoka.
nzige
ni aina kubwa ya panzi ambayo yaweza kuruka kwenda mbali na kwa haraka sana.
mlio
ni sauti kubwa ambayo farasi huitoa katika pua zao.