505 B
505 B
Binadamu huulaza makono wake juu ya mwamba mgumu
hii inamaanisha kupasua mwamba.KTN: "huchimba kwenye mwamba mgumu"
mwamba mgumu
" mwamba gumegume"
huipindua milima kwenye mizizi yake
"huipindua milima juu chini kwa kuvuita mizizi yake"
macho yake huona
"huona"
Huifunga mifereji ili istiririke
kuifunga mifereji inakilisha kuzuia majia au kuizuia mifereji ya maji.
kilichofichwa pale
hii inarejea vitu ambavyo watu hawawezi kuviona kwa sababu vipo chini ya ardhi au chini ya maji.