Mimi nitakuonyesha wewe;
Hii ni nahau. "Mimi nitakuleza wewe" au " Mimi ninaweka wazi kwako wewe"
Mimi nitakutangazia wewe
"Mimi ntatangaza"
mababu zao hawakuvificha.
Elifazi anasisitiza kuwa mababu zao kwa makusudi waliwafundisha vitu hivi. " mababu zao waliwafundisha wao waziwazi"