16 lines
426 B
Markdown
16 lines
426 B
Markdown
# hekima ina faida kuliko upumbavu, kama nuru ilivyo bora kuliko giza
|
|
|
|
hekima ni bora kuliko upumbavu, kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza.
|
|
|
|
# Mwenye hekima hutumia macho yake katika kichwa chake kuona mahali anakoenda
|
|
|
|
"Mtu mwenye hekima ni kama mtu anayetumia macho yake kuona anapoenda"
|
|
|
|
# hutumia macho yake katika kichwa chake
|
|
|
|
"anaona"
|
|
|
|
# mpumbavu hutembea katika giza
|
|
|
|
"mpumbavu ni kama mtu anayetembea katika giza"
|