sw_tn/1ti/06/intro.md

376 B

1 Timotheo 06 maelezo kwa jumla

Dhana muhimu katika sura hii

tumwa

Paulo hasemi katika sura hii iwapo utumwa ni mzuri ama ni mbaya. Paulo anaandika kuhusu kuwaheshimu na kuwatumikia kikamilifu mabwana zao. Paulo anawafunza waumini wote kuwa na uungu na kutosheka katika kila jambo.

__<< | __