740 B
740 B
Mkutano wa hadhara ninyi wenyewe pamoja na kusanyikeni
Misemo hii miwili ina maana ya kitu sawa. Pamoja vinaimarisha amri kwa watu kukusanyika pamoja kwa ajili ya kutubu dhambi zao. "kusanyikeni ninyi wenyewe pamoja."
taifa lisilokuwa na aibu
Taifa halina pole kwa dhambi zake.
siku hiyo inapita kama makapi
Makapi hayamaanishi sehemu ya kilichopandwa kuwa kilitupwa mbali na hivyo siku hii itapita haraka.
kabla hasira kali ya ghadhabu ya Yahweh kuja juu yako, kabla ya siku ya ghadhabu ya Yahweh kuja juu yako
Mtume anarudia msemo uleule karibu hasa ili kusisitiza jinsi hukumu ya Yahweh ilivyo ya kutisha itakavyokuwa na uharaka ambao watu lazima watubu.
Ghadhabu ya Yahweh
Hili linasimama kwa dhamira Mungu kuhukumu.