sw_tn/zec/11/01.md

771 B

Fungua milango yako, ee Lebanoni, ili moto uteketeze mielezi yako

Nabii anaongeza na nchi ya Lebaboni kama vile alikuwa ni mtu.

Omboleza, enyi miti ya misonobari, kwani mierezi imeanguka

"Ikiwa miti ilikuwa watu, ingelia kwa huzuni. Misonobari imebaki pekee kwa sababu mierezi imechomwa na kuanguka."

Ombolezeni, enyi mialoni ya Bashani, kwani msitu wenye nguvu umeshushwa.

"Ikiwa miti ya mialoni iliyoko Bashani ingekuwa watu, wangeomboleza, kwani msitu mzito umeangushwa."

Wachungaji wanapiga yowe

"Wachungaji wanalia kwa sauti"

kwa kuwa utukufu wao umeharibiwa

"Utukufu wao" pengine inawakilisha nyasi nyingi ambapo wachungaji walipeleka kondoo wao.

kwa kuwa kiburi cha Mto Yordani

"kwa sababu miti walipokaa kando ya Mto Yordani imeharibiwa."