sw_tn/zec/06/09.md

351 B

neno la Yahwe lilikuja

"Yahwe alinena neno lake."

Heldai, Tobiya, na Yediya... Yehosadaki

Haya ni majina ya wanaume.

Kisha uchukue fedha na dhahabu, ufanye taji

"Kisha tumia fedha na dhahabu kufanya taji.

Yoshua mwana wa Yehosadaki

Huyu siyo yule aliyekuwa msaidizi wa Musa; huyu ni kuhani mkuu ambaye ametajwa katika kitabu cha Hagai.