sw_tn/zec/05/01.md

325 B

Kisha niligeuka

Neno "Mimi" linamtaja Zakaria.

kuinua macho yangu

Hii inamaanisha kuangalia juu ya kitu fulani. Anasema "Niliinua macho" kwa sababu hii ni sehemu ya mwili mtu anayotumia kuona.

Tazama

Neno "tazama" linaonesha kwamba Zakaria alishangazwa na alichokiona.

dhiraa

Dhiraha ni sawa na sentimita 46.