sw_tn/zec/03/01.md

408 B

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anamwonesha ono Zakaria

Je! hiki si kinga kilichotolewa motoni?

"Yoshua ni kama ukuni uliotolewa motoni"

kinga kilichotolewa motoni

Kinga ni kipande cha ukuni uwakao kinachotolewa motoni kabla hakijaisha. Hii inamrejerea Yoshua, aliyeokolewa kutoka mateka ya Babeli na kurudi Yerusalemu.

mavazi machafu

katika ono hili mavazi yanatumika kama alama ya kuonesha dhambi.