sw_tn/sng/03/06.md

1.1 KiB

Maelezo ya Jumla

Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Tatu ya kitabu

Nini hiyo inayo toka nyikani

Kundi la watu wanao safiri kutoka nyikani kwenda Yerusalemu. Kwasababu nyikani iko chini ya bonde la Yordani na Yerusalemu iko juu ya milima, watu lazima waende juu kufikia Yerusalemu.

kama nguzo za moshi

Kwasababu watu walitimua vumbi sana walipo kuwa wakisafiri, vumbi lilionekana kama moshi kwa mbali.

umefukizwa manemane na ubani

"harufu nzuri ya moshi wa manemane na uvumba umeizunguka."

pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara

"na harafu nzuri ya moshi wote unga wafanya bihashara wanauza."

unga

udogo safi unao patikana kwa kusaga kitu kigumu

Angalia

Hili neno hapa linaonyesha kuwa mnenaji sasa amegundua jibu kwa swali la mstari wa 6.

nikitanda

Hii ya husu kitanda chenye shuka linalo weza kubwa sehemu moja kwenda nyingine.

mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli

Hii mistari miwili ya husu watu hao hao sitini. Mstari wa pili wa fafanua kuwa "mashujaa" ni "wanajeshi wa Israeli."

mashujaa

wanaume wanao pigana