sw_tn/rom/15/22.md

384 B

Sentensi unganishi:

Paulo anawaambia waumini wa Rumi kuhusu mipango yake ya kwenda Yerusalemu na anawaomba waumini kuombea.

Nilikuwa pia nimezuiliwa

Haina umuhimu kumtambua aliyekua amemzuia Paulo. "Walinizuia" au "watu walinizuia"

sina tena sehemu yoyote katika mikoa hii

Paulo anamaanisha kuwa hakuna sehemu katika maeneo haya wanamuishi watu ambapo Injili haijahubiriwa