sw_tn/rom/14/10.md

795 B

Kwa nini unamuhukumu ndugu yako? Na wewe kwa nini unamdharau ndugu yako?

Paulo anaeleza jinsi ambavyo anaweza kuwakemea miongoni mwa wale wasomaji wake. "Ni vibaya kwako kumhukumu ndugu yako, na ni vibaya kwako kumdharau ndugu yako!" au " Usimuhukumu na kumdharau ndugu yako!"

Kwa sababu sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu

"Kiti cha hukumu"kinaashiria mamlaka ya Mungu ya kuhukumu. kwa kuwa Mungu atatuhukumu sisi sote"

Kama niishivyo

Sentensi hii inatumika kuanzisha kiapo au kiapo makini. "Unaweza kuwa na uhakika kuwa hii ni kweli"

Kwangu mimi kila goti litapigwa, na kila ulimi utatoa sifa kwa Mungu

Paulo anatumia maneno "Goti" na "ulimi" kumaanisha mtu. Pia,Bwana anatumia neno "Mungu" kumaanisha yeyemwenyewe. " Kila mtu atainama na kutoa sifa kwangu"