sw_tn/rom/13/06.md

289 B

Kwa sababuya hili

"Kwa sababu serikali huwaadhibu watenda maovu"

Wewe ... lipa kwa kila mtu

Paulo hapa anawambia waamini.

Kwa

" Hii ni sababu kwa nini unapaswa kulipa kodi"

Hudumia

"Toa huduma" au "fanya kazi"

Ushuru

Hii inamaanisha fedha unayolipa kw aajili ya ushuru.